![Millard Ayo](/img/default-banner.jpg)
- Видео 56 793
- Просмотров 1 939 835 825
Millard Ayo
Танзания
Добавлен 22 сен 2012
Millard Ayo ni Mtangazaji na Mwandishi wa habari kutoka Tanzania na huripoti matukio yote ya ndani na nje ya Tanzania kila siku kupitia TWITTER, FACEBOOK, INSTAGRAM RUclips (@millardayo) na kwenye millardayo.com
NANDY AFUNGUKA URAFIKI WAO NA ZUCHU ULIVYOKUWA “TULILALA CHUMBA KIMOJA”
NANDY AFUNGUKA URAFIKI WAO NA ZUCHU ULIVYOKUWA “TULILALA CHUMBA KIMOJA”
Просмотров: 373
Видео
MACHAFUKO KENYA, BUNGE LAVAMIWA, RISASI ZARINDIMA, OFISI ZACHOMWA, “RUTO AONDOKE”
Просмотров 2,4 тыс.12 часов назад
MACHAFUKO KENYA, BUNGE LAVAMIWA, RISASI ZARINDIMA, OFISI ZACHOMWA, “RUTO AONDOKE”
SHILOLE AKIRI "NITAOLEWA HATA NDOA 30, KWANI KUNA UBAYA?
Просмотров 1,6 тыс.13 часов назад
SHILOLE AKIRI "NITAOLEWA HATA NDOA 30, KWANI KUNA UBAYA?
NDUGU WAKASIRIKA BEATRICE KUJIFUNIKA MAHAKAMANI, "TUTAAMINIJE KAMA NI YEYE"
Просмотров 2,4 тыс.14 часов назад
NDUGU WAKASIRIKA BEATRICE KUJIFUNIKA MAHAKAMANI, "TUTAAMINIJE KAMA NI YEYE"
BEATRICE ANAYEDAIWA KUMUUA MUME WAKE AINGIA AMEVAA KININJA MAHAKAMANI TENA, AJIFUNIKA MWILI MZIMA
Просмотров 6 тыс.14 часов назад
BEATRICE ANAYEDAIWA KUMUUA MUME WAKE AINGIA AMEVAA KININJA MAHAKAMANI TENA, AJIFUNIKA MWILI MZIMA
CCM YALAANI MAUAJI YA KIKATILI YA MWENYEKITI WA MTAA WILAYA YA GEITA
Просмотров 2,2 тыс.17 часов назад
CCM YALAANI MAUAJI YA KIKATILI YA MWENYEKITI WA MTAA WILAYA YA GEITA
MWANZA KAMA DAR TU, MADUKA YAMEFUNGWA “HATUTAKI SIASA”
Просмотров 9 тыс.19 часов назад
MWANZA KAMA DAR TU, MADUKA YAMEFUNGWA “HATUTAKI SIASA”
JE WAJUA! MICHAEL JACKSON ALITAKA KUNUNUA KAMPUNI YA MARVEL NA KUIGIZA FILAMU KAMA SPIDER MAN?
Просмотров 1,7 тыс.21 час назад
JE WAJUA! MICHAEL JACKSON ALITAKA KUNUNUA KAMPUNI YA MARVEL NA KUIGIZA FILAMU KAMA SPIDER MAN?
MBUNGE ADAI MPINA KUZILIPA MEDIA ZITOE HABARI “AMEZILIPA MILIONI KUMI KUMI, INAONEKANA SISI HAMNAZO”
Просмотров 1,6 тыс.21 час назад
MBUNGE ADAI MPINA KUZILIPA MEDIA ZITOE HABARI “AMEZILIPA MILIONI KUMI KUMI, INAONEKANA SISI HAMNAZO”
ASKOFU GWAJIMA AKUMBUSHWA ALIVYOONDOLEWA BUNGENI, AMWAMBIA MPINA “UMEKOSEA"
Просмотров 3,7 тыс.21 час назад
ASKOFU GWAJIMA AKUMBUSHWA ALIVYOONDOLEWA BUNGENI, AMWAMBIA MPINA “UMEKOSEA"
MUSUKUMA: MPINA ACHUNGUZWE AFYA YA AKILI, "ACHANA NA TAARIFA WEWE NI MTUHUMIWA"
Просмотров 95921 час назад
MUSUKUMA: MPINA ACHUNGUZWE AFYA YA AKILI, "ACHANA NA TAARIFA WEWE NI MTUHUMIWA"
DC MAGOTI APIGA MARUFUKU KUCHEZESHWA NGOMA WANAFUNZI "NIMESIKIA KUNA WALIMU WANATAFUNA WATOTO WETU"
Просмотров 2,3 тыс.22 часа назад
DC MAGOTI APIGA MARUFUKU KUCHEZESHWA NGOMA WANAFUNZI "NIMESIKIA KUNA WALIMU WANATAFUNA WATOTO WETU"
JAMBO AMBALO HALITOSAMEHEKA KISARAWE, UKIBAKA, KULAWITI, MIMBA NITAKUSHUGHULIKIA" DC MAGOTI AONYA
Просмотров 30422 часа назад
JAMBO AMBALO HALITOSAMEHEKA KISARAWE, UKIBAKA, KULAWITI, MIMBA NITAKUSHUGHULIKIA" DC MAGOTI AONYA
DC MAGOTI ASIMULIA ALIVYO TAPELIWA KIWANJA “MIGOGORO YA ARDHI INALETA CHUKI”
Просмотров 3,9 тыс.22 часа назад
DC MAGOTI ASIMULIA ALIVYO TAPELIWA KIWANJA “MIGOGORO YA ARDHI INALETA CHUKI”
UKIONA UMEVURUGA WAHI HARAKA NIAMBIE, MIMI SIO BWEGE "DC MAGOTI AKUTANA NA WATUMISHI ATOA MAAGIZO
Просмотров 3,2 тыс.22 часа назад
UKIONA UMEVURUGA WAHI HARAKA NIAMBIE, MIMI SIO BWEGE "DC MAGOTI AKUTANA NA WATUMISHI ATOA MAAGIZO
DC MAGOTI AANZA NA MOTO “SIPENDI UONGO, MIMI NI ZAIDI YA X RAY NINAONA HUNIDANGANYI KWENYE MRADI"
Просмотров 17 тыс.22 часа назад
DC MAGOTI AANZA NA MOTO “SIPENDI UONGO, MIMI NI ZAIDI YA X RAY NINAONA HUNIDANGANYI KWENYE MRADI"
DC.KOMBA AKEMEA VIKALI, ASIKITISHWA KUUAWA KWA MWENYEKITI WA MTAA KWA KUKATWA MAPANGA NYUMBANI KWAKE
Просмотров 29422 часа назад
DC.KOMBA AKEMEA VIKALI, ASIKITISHWA KUUAWA KWA MWENYEKITI WA MTAA KWA KUKATWA MAPANGA NYUMBANI KWAKE
JESHI LA POLISI GEITA LATOA TAMKO, MWENYEKITI WA MTAA ALIYEUAWA KIKATILI KWA KUKATWA MAPANGA
Просмотров 96223 часа назад
JESHI LA POLISI GEITA LATOA TAMKO, MWENYEKITI WA MTAA ALIYEUAWA KIKATILI KWA KUKATWA MAPANGA
MTOTO ASIMULIA BABA YAKE AMBAYE NI MWENYEKITI WA MTAA ALIVYOUAWA KWA KUKATWA MAPANGA GEITA
Просмотров 11 тыс.23 часа назад
MTOTO ASIMULIA BABA YAKE AMBAYE NI MWENYEKITI WA MTAA ALIVYOUAWA KWA KUKATWA MAPANGA GEITA
MREMBO HUYU JAMANI "NILICHANGANYIWA BANGI NA HEROINE, NIKAWA MWIZI, NIKAFUNGWA, UBAKAJI, ULAWITI"
Просмотров 4,4 тыс.23 часа назад
MREMBO HUYU JAMANI "NILICHANGANYIWA BANGI NA HEROINE, NIKAWA MWIZI, NIKAFUNGWA, UBAKAJI, ULAWITI"
SIMBA WAAMUA KUANZA UPYA, INONGA APISHANA NA NABI
Просмотров 16 тыс.14 часов назад
SIMBA WAAMUA KUANZA UPYA, INONGA APISHANA NA NABI
MAJIBU YA UWOYA YA UKIMWI “NIMEOGOPA MOYO UNAENDA MBIO NIMEJIKAZA”
Просмотров 4 тыс.14 часов назад
MAJIBU YA UWOYA YA UKIMWI “NIMEOGOPA MOYO UNAENDA MBIO NIMEJIKAZA”
MAAFISA WA JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI WAPANDISHWA VYEO DAR, NATAKA KUONA UTENDAJI UNABADILIKA
Просмотров 86414 часов назад
MAAFISA WA JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI WAPANDISHWA VYEO DAR, NATAKA KUONA UTENDAJI UNABADILIKA
SERIKALI YASITISHA KAMATA KAMATA, UKAGUZI WA RISITI KARIAKOO, MGOMO UMEISHA
Просмотров 10 тыс.14 часов назад
SERIKALI YASITISHA KAMATA KAMATA, UKAGUZI WA RISITI KARIAKOO, MGOMO UMEISHA
MWENGE WA UHURU KUZINDUA MIRADI 21 YA ZAIDI YA BILIONI 100 IRINGA, WASANII KUWEPO, DC KHERI JAMES
Просмотров 44414 часов назад
MWENGE WA UHURU KUZINDUA MIRADI 21 YA ZAIDI YA BILIONI 100 IRINGA, WASANII KUWEPO, DC KHERI JAMES
MGOMO KARIAKOO, MADUKA YOTE YAFUNGWA, ZIGO LA LAWAMA TRA "MILIONI 15 "
Просмотров 27 тыс.14 часов назад
MGOMO KARIAKOO, MADUKA YOTE YAFUNGWA, ZIGO LA LAWAMA TRA "MILIONI 15 "
MIILI YA WATOTO WATATU NA BABA YAO YAWALIZA WATU ARUSHA,YAPELEKWA KUPUMZISHWA "INAUMA SANA"
Просмотров 41 тыс.14 часов назад
MIILI YA WATOTO WATATU NA BABA YAO YAWALIZA WATU ARUSHA,YAPELEKWA KUPUMZISHWA "INAUMA SANA"
NETANYAHU AAPA KUENDELEZA VITA KUNG’OA UTAWALA WA GAZA NA KUREJESHA MATEKA WA ISRAEL
Просмотров 1,6 тыс.14 часов назад
NETANYAHU AAPA KUENDELEZA VITA KUNG’OA UTAWALA WA GAZA NA KUREJESHA MATEKA WA ISRAEL
IDADI YA MAHUJAJI WALIOFARIKI KWA JOTO KALI WAKATI WA IBADA YA HIJJA YAPITA 1,300
Просмотров 6 тыс.14 часов назад
IDADI YA MAHUJAJI WALIOFARIKI KWA JOTO KALI WAKATI WA IBADA YA HIJJA YAPITA 1,300
"HATUJI KWA SABABU YA KIPINDI CHA KAMPENI, TUNAKUJA KUWATATULIA KERO ZA MAJI" NAIBU WAZIRI WA MAJI
Просмотров 88514 часов назад
"HATUJI KWA SABABU YA KIPINDI CHA KAMPENI, TUNAKUJA KUWATATULIA KERO ZA MAJI" NAIBU WAZIRI WA MAJI
Huyu jamaa kichwani zipo kweli
Huu ni uhalifu na si maandamano,,,,democrasia nayo kwa nch za kiafrica ,,isizidi sana
Hongera sana Najima, Nahitaji Ushauri wako kuhusiana na kilimo cha mahindi maharage mbaazi na ngwara pia na alizeti please
Kwani sio mtanzania?
Simba lama Simba lama Simba dangote
Millard ayo nitafsilie bana
Huku pwani kwenye nko mombasa watu wamefariki wengi leo juu ya maandamano mungu tulindie inchi yetu Kenya 🙏🙏🙏😭😭🙏🙏
Acha inyeshe
Hiiii ni mbaya sana ,,,,,ni kweli hatukatai kuandamana ,lakn hii imezidi,,,huu,,,
Wakati huo wawakilishi wetu wabunge wanabwabwaja madomo yao bungeni. Hakuna bunge tulilonalo, ni kikundi cha wezi na wanyanyasaji wa wananchi
Kudos mr.president
Ni kweli vijana wengi wavivu kulala kuangalia Nexlifix Yaani tena kaa nao mbali shishi wasikuone hapo ulifanya kazi hii muhimu wanaume na wanawake ubarikiwe wote
Kweli kabisa wanafanana sana
Uhuru uliopitiliza🤐🤐
Sikipendi hiki kibaba cheusi kama mkaa Pmbv zake
Aaaaah nlikua cjui
Watetea maslahi nyie kina gwaji boy
Okay!!! I am now starting to see something is wrong with this president 😢
Innalilah wainailah rajiun
Nilisema wakenya wamepoteza hekima kidogo daaa ...
Angaa viongozi wamejua sasa wakiziendeleza purukushani zao, watakuja kukiona cha mtemba mbao.
Nyinyi mafala tunapigania haki yetu hamna mnachojua. Aim was to invade and discipline the corrupt leaders. It's revolution if we die its fate but we must fix our country period!
Sawa lakin,,mvunje bungeni🤐🤐🤐
Shukaaaaa bwanaaa hawakutakiiiiiiiii
😂😂😂😂
Serekali ni watu cio ruto. Umeonaaaa hii na Gen z
Badala ya kukaa na wananchi wake yuko ulaya , mzee wananchi hao watakusumbua
Viva Mpina
Hakuna Cha maana kaongea mtoeni madarakani uyo hajali maisha ya wakenya anajali pesa tu
Watt wanauchungu jamani shetan hana adabu nahis huyu mama alitaka kumuua mke mwezake labda mume akazuia ikala kwake
Tulikupendesana lakini ulipenda tumbo kutuliko
Dawa ya kunguni ni nyepesi sana hapo mtachoka mnaua mama kunguni na baba kunguni lakini mayai yapo na yai alifi haraka kwa kupulizia dawa hivo ..kazi hii inaitaji umakini sana sio rasha rasha izoooo
Zombie haujuw
huwa napenda kicheko cha shishi, pambana dada yangu
Protecting while are dying
Shishi baby uwa hana maingizo 😂mashallah ❤kijituma upandilishe maisha uliyo toka
Duuu nilimkubali mwamba mwanzoni,,sijui kapotea wapi?
Hii nchi bhana hata vilema wana mikwara ety kisa mamlaka
Who's he calling criminals? Citizens fighting for their rights are now criminals? Politicians🙌
Hongera kwa Davido na Chioma
HAYA NDO MADHARA YA KUWA NA UHURU KUPITILIZA ET NDO DEMOCRASIA DUH UHURU UNAPASWA KUWA NA MIPAKA
Wamependeza saaana
Wacha asira bana shuka
Mashugi kama mashugi
Mnaukata uislam kisa mashugi mkiuwa mnavaa mashugi uislamu juu
we Kenyan we shall continue supporting our president
DAH NDUGU ZANGU WA KENYA HATA KAMA N KUTAFUTA HAKI SIO HIVI NYIE NAONA MNAIYAFUTA VITA SHAURI YENU
Hawakutaka Awe raisi huyu jamaa maana wanashindwa kumpa saport ni kama mangungu tu dah
Nadhani viongozi wa tanzania wanatakiwa kujifunza kitu hapa
Kweri kbs shishi
Msiseme amen